Monday, May 25, 2009

KITONGOJI CHA MSASANI CHAFANYA KIKAO CHA ULINZI

Wananchi wakiwasikiliza viongozi
Mjumbe akichangia hoja ya kudumisha ulinzi


Baadhi ya vijana watakaofanya shughuli za ulinzi "sungusungu" wakiwa wametoka mbele

Mheshimiwa Diwani wa Kata ya Kaloleni akiwahutubia wananchi. Waliokaa ni wenyeviti wa Mitaa na Afisa Mtendaji wa Kata. Hii ilikuwa katika kikao cha Kamati ya Ulinzi kilichofanyika tarehe 17/5/2009 kwa Mzee Tondi kuzungumzia kuibuka kwa matukio ya wizi katika eneo la Msasani.




No comments: