Saturday, August 29, 2009

MKUTANO WA HADHARA WA MTAA KALOLENI - KALIMANI

AUGUST ILIVYOKUWA KALOLENI

Katika kufunga wikiendi ya mwezi wa august, Katika Kata ya Kaloleni yamefanyika mambo mengi sana. Hebu jionee mwenyewe.

Sunday, August 2, 2009

MATUKIO KALOLENI JULY

Baada ya siku kadhaa ilifikia siku ya wageni kuondoka Kaloleni. Hapa Mr. Kenny akihutubia katika tafrija fupi iliyofanyika.
Wageni pamoja na walimu wa Kaloleni katika picha ya ukumbusho.

Afisa Mtendaji wa Kaloleni(miwani) katika kikao na wakulima wa mpunga wa Kaloleni, hapa wakijadiliana jambo.



Wakuu wa shule wawili wakijadiliana siku ya mwisho ya ziara ya wageni kutoka Marekani. Hapa ni Madam Marry wa Chrysalis School na Bi. Chuo wa Kaloleni Primary.



WAMAREKANI WAKIFANYA KAZI KALOLENI

Walimu wa Shule ya Msingi Kaloleni wakiwajibika pamoja na wageni

Kazi ya ukarabati ya darasa ilipokwisha, Madam Marry(Headmistress Chrysalis School, mwenye kamera akiwa na mratibu wa ziara ya wageni hao Madam Kate) wakifurahia darasa lililokarabatiwa.

Mkuu wa shule Chrysalis High School akiwa bize katika ukarabati wa darasa mojawapo.

Walimu wakisaidiana na mmoja wa wamiliki wa Shule hiyo, Mr. Kenny katika ukarabati wa sakafu darasa la kwanza.
Kata ya Kaloleni mwezi uliopita ilipata ugeni wa kikundi cha wanafunzi na walimu wao wapatao 13 kutoka Chrysalis High School nchini Marekani. Wageni hawa waliitembelea shule ya Msingi Kaloleni na kukaa kwa siku tano wakifanya kazi za kujitolea katika kuiboresha shule hiyo.