Sunday, August 2, 2009

WAMAREKANI WAKIFANYA KAZI KALOLENI

Walimu wa Shule ya Msingi Kaloleni wakiwajibika pamoja na wageni

Kazi ya ukarabati ya darasa ilipokwisha, Madam Marry(Headmistress Chrysalis School, mwenye kamera akiwa na mratibu wa ziara ya wageni hao Madam Kate) wakifurahia darasa lililokarabatiwa.

Mkuu wa shule Chrysalis High School akiwa bize katika ukarabati wa darasa mojawapo.

Walimu wakisaidiana na mmoja wa wamiliki wa Shule hiyo, Mr. Kenny katika ukarabati wa sakafu darasa la kwanza.
Kata ya Kaloleni mwezi uliopita ilipata ugeni wa kikundi cha wanafunzi na walimu wao wapatao 13 kutoka Chrysalis High School nchini Marekani. Wageni hawa waliitembelea shule ya Msingi Kaloleni na kukaa kwa siku tano wakifanya kazi za kujitolea katika kuiboresha shule hiyo.









No comments: