Monday, January 25, 2010

MBUNGE WA MOSHI MJINI ATEMBELEA KALOLENI

Mh. Mbunge Ndesamburo akiondoka Ofisi ya Kata Kaloleni
Mh. Mbunge Ndesamburo akielekezwa kutoka katika Jengo la zahanati ya Kaloleni baada ya kulitembelea.


Mh. Mbunge wa Moshi Mjini, Ndesamburo, akitoka katika Zahanati ya Kaloleni baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi.

Mh. Mbunge Ndesamburo akipata maelekezo ya ujenzi kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi, Ezekiel Omar.




No comments: