Monday, January 25, 2010

DIWANI KALOLENI ATEMBELEA WAKULIMA

Mh Diwani akiangalia wakulima shambani
Mh. Diwani alipotembelea nyumba mpya ya mwalimu Shule ya Sekondari Msasani.


Wakulima wa kikundi cha kutunza mazingira pamoja na washirika wao "Kilimanjaro Porters Society" wakimsikiliza mheshimiwa Diwani.

Mkulima mmoja akitoa hoja katika kikao na Mh. Diwani ( hayupo pichani)

Diwani wa Kata ya Kaloleni alitembelea mashamba ya mpunga katika skimu ya umwagiliaji ya Kaloleni.

No comments: