Friday, November 21, 2008

Kwenye kata ya Kaloleni kwa sasa kuna mambo mengi tu ya kimaendeleo ambayo yanaendelea. Kwa mfano, kuna ujenzi wa miradi kama elimu, kilimo na afya.

Kuna ujenzi wa mfereji wa umwagiliaji, ujenzi wa madarasa shule ya sekondari Msasani, Ujenzi wa uzio wa shule ya Msingi Kaloleni na ujenzi wa Zahanati ya Kata.

Unaweza ukajionea mapicha kuthibitisha haya:

No comments: