Sunday, November 30, 2008

UJENZI WA MFEREJI WAANZA


Kupitia mpango wa maendeleo ya kilimo ya wilaya (DADP) Halmashauri ya Manispaa ya Moshi inajenga mfereji wa umwagiliaji katika eneo la Goa kwa ajili ya wakulima wa Mpunga wa Kaloleni.

No comments: