Kata ya Kaloleni ni mojawapo ya Kata 21 za Halmashauri ya Manispaa ya Moshi ambayo ina mitaa miwili: Kaloleni na Kalimani. Ni kata ya pembezoni ambayo bado ni changa lakini iliyo na changamoto nyingi ambazo ni vyema kila mtu azitambue. Ukiipitia blog hii utaona mengi yanayofanyika na kutokea katika Kata hii hasa miradi na kazi mbalimbali za kiserikali zinazoendelea Kaloleni. Usiondoke bila kuweka maoni chini ya habari uliyosoma.
Sunday, November 30, 2008
UJENZI WA MFEREJI WAANZA
Kupitia mpango wa maendeleo ya kilimo ya wilaya (DADP) Halmashauri ya Manispaa ya Moshi inajenga mfereji wa umwagiliaji katika eneo la Goa kwa ajili ya wakulima wa Mpunga wa Kaloleni.
No comments:
Post a Comment