Tuesday, November 25, 2008

MIRADI INAYOFANYIKA KATA YA KALOLENI KWA SASA







Kuna miradi kadhaa inayoendelezwa katika Kata ya Kaloleni kwa sasa. Panajengwa mfereji wenye urefu wa meta 1470 katika Kitivo cha kilimo cha mpunga eneo la chemichemi ya Goa.

No comments: