Tuesday, December 9, 2008

KALOLENI YASHINDA FAINALI TAMASHA LA MANGI MARIALE

Kilimanjaro Qeens wakipata Kikombe na Mbuzi
Siku ya Ufunguzi wa michezo hiyo wanakaloleni, akina dada wa netiboli
Kikombe kwa kapteni wa Kaloleni United
Mabingwa wa mwaka huu Kaloleni United.
Timu ya Soka ya Kata ya Kaloleni, Kaloleni United imeshinda tamasha la mwaka huu la Mangi Mariale na kukabidhiwa Kikombe, jezi, mipira minne pamoja na ng'ombe dume baada ya kuishinda timu ya Langasani kwa bao moja kwa bila katika Uwanja wa Chuo cha Ushirika Moshi.
Pia timu ya Kilimanjaro Queens ilishinda upande wa netiball kwa kupata Kikombe na Mbuzi.

No comments: