Wednesday, December 3, 2008

UJENZI WA ZAHANATI UNAENDELEA VIZURI SANA

Hapa jengo la zahanati ya Kata kupitia TASAF linapandishwa kuta zake.
Baada ya hatua ya msingi ujenzi wa kujenga kuta ulianza, hapa mafundi na wananchi waliojitokeza wakifanya kazi


Ujenzi unaanzia hatua ya msingi.

Msingi unaimarishwa kwa kujazwa mawe kama inavyoonekana.



Katika Kata ya Kaloleni ni miradi kwa kwenda mbele. Mradi wa ujenzi wa zahanati ndio umeshika kasi hasa. Pichani juu ni baadhi ya hatua za mradi kuanzia hatua ya msingi hadi hivi saa. Inategemewa mapema mwakani watu wataannza kutibiwa hapa.








No comments: