Wednesday, December 24, 2008

UJENZI WA ZAHANATI UNAVYOENDELEA


Fundi akiwajibika

Mratibu wa TASAF Moshi Manispaa akiwa eneo la ujenzi kuratibu kazi pamoja na mhandisi na mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi mwenye shati la light bluu.

Mafundi mzigoni

Mhandisi wa Tasaf akielekeza mafundi pamoja na wanakamati ya ujenzi ukorogaji mzuri wa zege

Mhandisi akimgombeza mmoja wa mafundi kwa kutozingatia maelekezo

No comments: