Thursday, December 17, 2009

WDC YA KUFUNGA MWAKA YAKUTANA JANA

WAJUMBE WAKIMSIKILIZA MWENYEKITI (hayupo pichani)

Kikao kiliamia katika zahanati ya Kata kuona maendeleo ya kazi. Hapa Mwenyekiti wa kamati ya Ujene akiwaongoza wajumbe kuona kazi ilipofikia
Wajumbe wa WDC wakifuatilia maelezo ya Mwenyekiti wa kamati ya Ujenzi zahanati.


Meza Kuu, Katibu akitoa maelezo kwa wajumbe huku Mwenyekiti akifuatilia kwa karibu.




No comments: