Thursday, December 17, 2009

UJENZI WA MADARASA MSASANI SEKONDARI - KALOLENI WAENDELEA

Chumba kimoja cha darasa kimefikia hatua hii, hapa mafundi wanachakarika
Vyumba vingine vitatu vipo hatua ya msingi.

Mhandisi wa Manispaa ya Moshi akikagua ubora wa kazi.


Ubora wa kazi nimuhimu.




Mhandisi akiangalia nondo zilivyosukwa kabla ya kuruhusu kazi kuendelea.




No comments: