Friday, October 15, 2010

MRADI WA KUJENGA TANKI LA KUHIFADHI MAJI SHULE YA MSING KALOLENI WAANZA

Ujenzi wa Kisima tanki la maji kusaidia uhifadhi wa maji safi kwa shule
Fundi akiwajibika kujenga mahali ambapo tanki la maji safi litawekwa na kuondokana na tatizo la uhifadhi wa maji usio na tija kama wanavyoonekana wanafunzi wakichota maji kwenye kisima kilichopo shuleni ambacho hakina uwezo kuhifadhi maji mengi na kwa usalama.


No comments: