Friday, October 15, 2010

NAIBU KATIBU MKUU ALIPOTEMBELEA WAKULIMA MPUNGA KALOLENI

Naibu Katibu Mkuu - Tamisemi alipotembelea ujenzi wa mifereji ya umwagiliaji Kaloleni

Naibu Katibu Mkuu - Tamisemi akiwa pamoja na Maafisa Kilimo, wahandisi pamoja na wakulima akisisitiza jambo katika chanzo cha mfereji wa Njoro ya Liwali.
Mkaguzi wa Ndani Manispaa ya Moshi alipotembelea mradi wa ujenzi wa mifereji kwa ukaguzi pamona na maafisa Kilimo akihoji mambo mkulima mmoja ambaye ni mjumbe wa Kamati ya Usimamizi wa Mifereji wakati wa ujenzi wa mfereji Njoro ya Liwali katika Msitu wa Njoro.



No comments: