Friday, October 15, 2010

UJENZI WA UZIO SHULE YA MSINGI KALOLENI KARIBU KUKAMILIKA

Ujenzi wa uzio kaloleni shule ya Msingi umefikia karibu kukamilika. Wiki hii 98% shule imezungushiwa uzio. Haya ni mafanikio ya kipindi kifupi tu cha mwaka mmoja uliopita. Pichani juu, uzio ukiwa umekutanika na uzio wa Shule ya sekondari Msasani.
Angalia uzio wa shule ya msingi Kaloleni eneo jirani na shule ya sekondari Msasani.


No comments: