Saturday, February 20, 2010

MKUU WA MKOA AKIWA KALOLENI

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, akipata maelezo kutoka kwa mwakilishi wa Vijana wapanda mlima "Mount Kilimanjaro Porters Society" ambao wanashirikiana na wakulima katika kuboresha chanzo cha maji cha Goa.
Afisa Mtendaji wa Kata ya Kaloleni akimwongoza Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bi. Monica Mbega kukagua mashamba ya mpunga huku akiongozana na wakulima.


Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro akisaini kitabu cha wageni alipowasili mashamba ya Mpunga Skimu ya umwagiliaji Kaloleni katika eneo la Njoro ya Goa.


No comments: