Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro alifika katika Kata ya Kaloleni akiongozana na viongozi mbalimbali wa Mkoa pamoja na Wilaya katika kukagua shughuli za kiserikali zinazoendelea katika Kata ya Kaloleni. Katika ziara yake alitembelea wakulima wa skimu ya mpunga ili kujionea mwenyewe jinsi miradi ya kilimo hususan ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji inavyofanywa.
PIa alipata wasaa wa kuzungumza na wakulima na kupokea taarifa ya utendaji kazi ya Kata kwa upande wa masuala ya kilimo
No comments:
Post a Comment