Saturday, February 20, 2010

MKUU WA MKOA KILIMANJARO AFURAHIA UTENDAJI KAZI ZA KILIMO - KATA YA KALOLENI

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mama Monica Mbega (MB) hapa anajiandaa kupokea zawadi ya mchele kutoka kwa wakulima ili naye ajisikie kwa kile wakulima wanachozalisha katika skimu ya umwagiliaji Kaloleni.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, mama Monica Mbega akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Mtendaji wa kata ya Kaloleni pamoja na baadhi ya wanakamati wa ukarabati mifereji kaloleni huku akiangalia mfereji uliojengwa kwa mawe katika skimu ya Kaloleni, eneo la Njoro ya Goa.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, mama Monica Mbega akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika mashamba ya Skimu ya umwagiliaji, Njoro ya Goa.



No comments: