Wednesday, March 10, 2010

MFEREJI MWINGINE WA LIWALI - KALOLENI

Mfereji wa Liwali kupitia Mfuko wa DaDP umejengwa kupitia msitu wa Njoro.
Mfereji wa Liwali unavyoonekana katika hatua za mwisho za ujenzi.

Mkandarasi, bw. Mtui, akitoa maelezo ya ujenzi wa mfereji wa umwagiliaji kwenye chanzo "return wall" kwa wakulima na Afisa Mtendaji wa Kata.



No comments: