Tuesday, October 30, 2012

JIKO LA SHULE ULIVOENDELEA SHULE YA MSINGI KALOLENI

Kwa juhudi za binafsi za uongozi wa Kamati ya Shule baada ya wageni kuondoka, kazi ya ujenzi wa jiko imeendelea na kwa sasa imefikia hatua za mwisho kama utakavyoona:


No comments: