Tuesday, October 30, 2012

WAGENI WATEMBELEA WAKAZI MITAA YA KALOLENI

Ikizingatiwa kuwa urafiki kati ya Shule ya Msingi Kaloleni na Chrysalis School ya Marekani ni wa muda mrefu sasa, wageni walijisikia kutembea na kujionea wenyewe ni jinsi gani wananchi na wakazi wa Kaloleni wanavyoishi. Walitaka kujua je wanafunzi wanaosoma shule wanayoisaidia wanatoka katika makazi na maisha ya aina gani? Walipofika mtaani waliweza kujichanganya na kushiriki katika kazi walizokuta wenyeji wao wakizifanya:

No comments: