Tuesday, October 30, 2012

UJENZI WA LANGO (GETI) KUU LA SHULE SHULE YA MSINGI KALOLENI

Shule ya Msingi Kaloleni kupitia ushirikiano na Chrysalis School ilianza ujenzi wa uzio wa shule kwa kujenga fensi mwaka 2009. Kazi iliyobakia ni kuweka geti na ujio wa wageni hao umewezesha shule kuwa na geti sasa. Kwa sasa wanafunzi wanasoma katika mazingira mazuri kama inavyoonekana hapa:

No comments: